Back to home
Wakazi wafunga barabara ya Kabarnet-Eldoret wakitaka mwili wa mpiga mbizi utafutwe
video
N
NTV Kenya (Youtube)March 10, 2026
2w ago
Usafiri katika barabara ya Kabarnet- Eldoret eneo la Cheploch ulitatizika kwa saa tano baada ya wakazi wa eneo hilo kufunga barabara wakitaka mwili wa mpiga mbizi aliyesombwa na maji siku tatu zilizopita upatikane.
Subscribe to NTV Kenya channel for latest Kenyan news today and
Advertisement
Advertisement





