Back to home

Wakazi wa Kilifi watakiwa kujitokeza kupata huduma za bure za matibabu ya figo kesho

video
C
Citizen TV (Youtube)
March 11, 2026
7h ago
Serikali ya Kaunti ya Kilifi imewataka wakazi kutoka Kaunti hiyo wajitokeze ili kupata huduma muhimu za Afya bila malipo. Mpango huo unalenga watu wenye magonjwa ya kudumu kama vile shinikizo la damu, ugonjwa wa sukari sambamba na ule sugu wa figo. Akihutubia wanahabari katika
Advertisement