Back to home

Mgombea urais kwa chama cha UGM Maraga ataka vijana wachukue kura

video
C
Citizen TV (Youtube)
March 11, 2026
1h ago
Aliyekuwa Jaji Mkuu na anayewania urais kupitia chama cha United Green Movement, David Maraga, amewahimiza vijana kujisajili kuwa wapiga kura ili waweze kutumia haki yao ya kidemokrasia katika uchaguzi mkuu wa mwaka ujao wa 2027 kuchagua viongozi. Akizungumza katika mji wa Muran
Advertisement