Back to home
Mahakama yakataa kutupilia mbali faini za NTSA
video
C
Citizen TV (Youtube)March 11, 2026
2h ago
Mahakama kuu ilitupilia mbali ombi la kutaka mfumo mpya wa faini za hapo kwa hapo kutoka kwa halmashauri ya usalama barabarani NTSA kupigwa marufuku. Dereva Kennedy Maingi Mutwiri aliwasilisha kesi mahakamani akisema Mfumo huo unaipa NTSA nguvu za kuwanyanyasa madereva barabarani
Advertisement
Advertisement



