Back to home

Askari 11 kutoka kaunti ya Kisii waendelea kuzuiliwa kortini kesi ikiendelea

video
C
Citizen TV (Youtube)
March 11, 2026
1h ago
Askari 11 kutoka kaunti ya Kisii walioshtakiwa kwa madai ya wizi wa bidhaa katika opereshini yao katika Boma moja eneo la Kegati viungani mwa mji wa Kisii watazuiliwa hadi Alhamisi ambapo watajulishwa iwapo wataachiliwa kwa dhamana au la.
Advertisement