Back to home
Muungano wa maafisa wa Kliniki na Wataalamu katika kaunti ya Turkana wasitisha mgomo
video
C
Citizen TV (Youtube)March 11, 2026
1h ago
Muungano wa maafisa wa Kliniki na ule wa Wataalamu wa maabara katika kaunti ya Turkana, wameafikiana kusitisha mgomo wao uliochukua muda wa siku tano baada ya serikali na miungano hiyo kutia saini mkataba wa makubaliano.
Advertisement
Advertisement



