Back to home

Mvua kubwa na mafuriko yaacha maafa makubwa katika kaunti za Homa Bay na Kisumu

video
N
NTV Kenya (Youtube)
March 11, 2026
2h ago
Mvua kubwa inayoendelea kunyesha katika eneo la Nyanza imeacha maafa makubwa katika kaunti za Homa Bay na Kisumu baada ya mto Miriu kufurika na kuzamisha makazi, mashamba na barabara. Wakazi sasa wanazishutumu serikali za kaunti hizo kwa uzembe, wakisema ujenzi wa dimbwi la kuzui
Advertisement