Back to home
Sherehe za Nakuru RFC: Mashindano ya 10-a-side kuandaliwa uwanjani NAC mwezi ujao
video
C
Citizen TV (Youtube)March 11, 2026
2h ago
Huku klabu ya raga ya Nakuru ikijitayarisha kuandaa mchuano wa raga ya 10 a side tarehe 3 hadi tano mwezi aprili, timu zaidi ya arobaini zinatarajiwa kushiriki. Klabu hiyo ikitumia fursa hiyo kusherehekea miaka 100 tangu kuanzishwa kwake mwaka 1923. Nakuru RFC inajivunia wachezaj
Advertisement
Advertisement




