Back to home
IEBC inasema inahitaji shilingi milioni 888 za maandalizi ya uchaguzi mkuu
video
C
Citizen TV (Youtube)March 12, 2026
2h ago
Tume ya uchaguzi na mipaka nchini IEBC sasa inasema inahitaji shilingi milioni 888 kujiandaa kwa uchaguzi mkuu ujao. IEBC ikisema pesa hizo zitatumika kwa usajili wa wapiga kura zaidi, kununua magari mapya ya makamishna na ujenzi wa kituo cha mawasiliano kwa maandalizi ya uchaguz
Advertisement
Advertisement



