Back to home
Kamati ya fedha yaidhinisha uuzaji wa 15% ya hisa za Safaricom
video
C
Citizen TV (Youtube)March 12, 2026
1h ago
Wabunge wameidhinisha pendekezo la serikali kuuza asilimia 15 ya hisa zake katika kampuni ya Safaricom. Kwenye mjadala bungeni, wabunge wameidhinisha gharama ya uuzaji huo kuwa shilingi bilioni 204 huku serikali ikiratibiwa masharti ya kufuata kaika utekelezaji wa uuzaji huo.
Advertisement
Advertisement





