Back to home
erikali imeanzisha mpango wa kuwafunza vijana 1,600 kupanda kahawa ili kufufua sekta hiyo
video
C
Citizen TV (Youtube)March 12, 2026
2h ago
Serikali imeanzisha mpango wa kuwafunza vijana 1,600 katika maeneo yanamokuzwa kahawa ili kufufua sekta hiyo na kuongeza uzalishaji kutoka tani elfu 50 hadi tani elfu 150 kwa mwaka katika kipindi cha miaka mitatu ijayo.
Advertisement
Advertisement





