Back to home
Wadau katika sekta ya uchumi wa baharini wameelezea wasiwasi wao kuhusu athari za vita mashariki
video
C
Citizen TV (Youtube)March 13, 2026
2h ago
Wadau katika sekta ya uchumi wa baharini wameelezea wasiwasi wao kuhusu athari za mashambulizi huko mashariki ya kati wakisema baadhi ya wanachama wao wanaoishi katika milki za kiarabu wameathirika kutokana na mashambulizi kati ya Marekani na Iran.
Advertisement
Advertisement




