Back to home
Serikali yazindua mfumo wa kutathmini biashara ndogo nchini
video
C
Citizen TV (Youtube)March 13, 2026
2h ago
Kenya imezindua mpango wa kutathmini ukuaji wa biashara za wastani na ndogondogo katika kaunti zote 47. Mpango huu ulizinduliwa kwenye hafla ya mauzo ya Afrika maarufu chanuka jipange iliyofanyika katika ukumbi wa all Saints Cathedral hapa jijini Nairobi.
Advertisement
Advertisement





