Back to home
Watu 63, 000 wahudumiwa kwa miezi mitatu Makueni
video
C
Citizen TV (Youtube)March 13, 2026
2h ago
Watu zaidi ya elfu 63 wa kaunti ya Makueni wamepata huduma mbalimbali za serikali kuu n ile ya kaunti kwa kipindi cha miezi mitatu tu kupitia Huduma Kenya. Aidha Huduma kenya imefichua inalenga kufungua vituo vya huduma katika kila eneno bunge kote nchini ili kuhakikisha wananchi
Advertisement
Advertisement





