Back to home
Kenya Police wapoteza 2-0 kwa Posta Rangers, mabao kila kipindi
video
C
Citizen TV (Youtube)March 13, 2026
2h ago
Masaibu ya mabingwa watetezi wa Ligi Kuu ya Kandanda Kenya Police yanazidi kuongezeka baada ya kulimwa mabao 2-0 na timu ya Posta Rangers. Posta ilifunga bao moja katika kila kipindi na kupata ushindi muhimu katika uwanja wa Kasarani Annex.
Advertisement
Advertisement


