Back to home

Raphael Tuju aandikia barua Jaji Mkuu kulalamikia mnada wa mkahawa wake Karen

video
C
Citizen TV (Youtube)
March 13, 2026
2h ago
Waziri wa zamani na pia aliyekuwa katibu mkuu wa chama cha Jubilee, Raphael Tuju amemuandikia barua jaji mkuu Martha Koome kulalamikia kile alichodai ni idara ya mahakama kutumika vibaya na kumnyima haki na hivyo kusababisha kupigwa mnada kwa mkahawa wake wa dari mtaani Karen…t
Advertisement