Back to home
Watu wawili wauawa kwa risasi wakati wa maandamano Macalder, Migori
video
C
Citizen TV (Youtube)March 14, 2026
2h ago
Watu wawili wamedaiwa kupigwa risasi na kuuawa na maafisa wa polisi huko Macalder, kaunti ya Migori. Imeripotiwa waliouawa walikuwa wakiandamana kulalamikia ongezeko la visa vya uhalifu katika eneo hilo. Aidha, waandamanaji walisababisha uharibifu mkubwa wa mali katika kituo hich
Advertisement
Advertisement




