Back to home

Tume ya kutetea haki za binadamu yapokea ripoti ya ajenda 10 na NADCO kwa ajili ya fidia kwa waaathi

video
C
Citizen TV (Youtube)
March 16, 2026
2h ago
Kamati ya utekelezwaji wa ajenda kumi na ripoti ya NADCO, imewaonya wanasiasa dhidi ya kuingilia zoezi la kuwafidia waathiriwa wa ukiukwaji wa haki za kibinadamu nchini. Kamati hiyo iliyowasilisha ripoti yake kwa tume ya kutetea haki za binadamu KNCHR amedhibitsha kuwa juhudi za
Advertisement