Back to home

Wafanyabiashara katika soko la Toi wabaki hoi baada ya moto kuteketeza takriban maduka 50 mapema leo

video
C
Citizen TV (Youtube)
March 16, 2026
2h ago
Wafanyabiashara zaidi ya 50 katika soko la Toi lililoko Woodley hapa nairobi ,wanakadiria hasara kubwa baada ya moto kuzuka mapema leo na kuteketeza biashara kadhaa. Moto huo unaodaiwa kusababishwa na hitilafu ya umeme ulienea kwa haraka, katika soko hilo na kuteketeza bidhaa zen
Advertisement