Back to home

Wafanyabiashara katika soko la Toi wabaki hoi baada ya moto kuteketeza takriban maduka 50 mapema leo

video
C
Citizen TV (Youtube)
March 16, 2026
1mo ago
Wafanyabiashara zaidi ya 50 katika soko la Toi lililoko Woodley hapa nairobi ,wanakadiria hasara kubwa baada ya moto kuzuka mapema leo na kuteketeza biashara kadhaa. Moto huo unaodaiwa kusababishwa na hitilafu ya umeme ulienea kwa haraka, katika soko hilo na kuteketeza bidhaa zen

More on this topic

Toi Market Fire Causes Major Losses for Nairobi Traders - March 2026

Dozens of traders at Nairobi's Toi market are facing significant losses after a fire ravaged a section of the popular marketplace early today, destroying nearly 50 shops. The inferno is believed to have started due to an electrical fault and spread rapidly through the market, with traders left counting losses after the devastating fire broke out earlier today, destroying numerous businesses.

3 stories in this topic
View Full Coverage
Advertisement