Back to home
Alvin Alukwe ndiye mshindi wa Shabili.Com wiki hii
video
C
Citizen TV (Youtube)March 16, 2026
1h ago
Alvin Alukwe, mkazi wa eneo la Njiru Kaunti ya Nairobi, amejishindia zaidi ya shilingi milioni mbili kupitia jukwaa la Shabiki.com baada ya kushiriki katika mchezo maarufu wa Jet-X.
Advertisement
Advertisement




