Back to home
Viongozi wa kidini Mombasa wawaonya wanasiasa dhidi ya matamshi ya uchochezi
video
C
Citizen TV (Youtube)March 17, 2026
2h ago
Viongozi wa kidini kutoka kaunti ya Mombasa wamewataka wanasiasa nchini kukoma kutoa matamshi yatakaoleta uhasama baina ya wakenya wanapojiandaa kwa uchaguzi mkuu mwaka ujao.
Wakizungumza huko makande huko mombasa baada ya uzinduzi wa baraza la wanaume wa kanisa la AIPCA wameghad
Advertisement
Advertisement



