Back to home

Wauzaji nyama Kajiado wasema soko la nyama laathirika na mapigano ya Marekani, Israel na Iran

video
C
Citizen TV (Youtube)
March 17, 2026
2h ago
Wafugaji katika Kaunti ya Kajiado wanalalamika kuhusu kupungua kwa biashara ya mifugo kufuatia mzozo unaoendelea katika mataifa ya Ghuba kati ya Marekani na Israel dhidi ya Iran. Kwa sasa, wafugaji ambao bado wanajikwamua kutokana na ukame uliodumu kwa miezi kadhaa wanasema biash
Advertisement