Back to home
Vita dhidi ya pombe haramu Gtitu Nyeri vyaendelea
video
C
Citizen TV (Youtube)March 17, 2026
2h ago
Baa kumi peke yake ndizo zitakazokubaliwa kuhudu eneo la Gatitu kaunti ya Nyeri. Ndilo agizo la serikali ya kaunti hio, kufuatia idadi inayoendelea kuongezeka ya vifo vya walevi, watu wanne wakifariki baada ya kubugia pombe inayodaiwa kuwa ghushi, ndani ya majuma mawili yaliyopit
Advertisement
Advertisement



