Back to home
KPL: Peter Okidi atimuliwa, Ingwe kuchuana na Naibos kesho
video
C
Citizen TV (Youtube)March 17, 2026
1h ago
Timu ya Shabana fc imemtimua kocha Peter Okidi siku mbili tu baada ya kupoteza mechi yao ya pili mfululizo kwenye ligi kuu nchii. Okidi ni kocha wa pili kufutwa kazi baada ya Ulinzi stars pia kumtimua Stephen Ocholla hapojana baada ya matokeo mabaya.
Advertisement
Advertisement




