Back to home
Vijana wachukua hatua kupitia kampeni ya mitandao kuhamasishana kuhusu usajili wa kura na elimu ya u
video
C
Citizen TV (Youtube)March 18, 2026
2h ago
Vijana leo walijitokeza katika uwanja wa Kasarani huku wakiendeleza kampeni ya kuwataka vijana zaidi kujisajili kuwa wapiga kura kwa maandalizi ya uchaguzi mkuu ujao. Kampeni hiyo ya 'tuko kadi' ikiwataka vijana kujitayarisha kuchagua viongozi bora mwakani
Advertisement
Advertisement



