Back to home

Rais Ruto na upinzani watukanana hadharani matusi ya cheche kali na kukoseana heshima

video
C
Citizen TV (Youtube)
March 18, 2026
2h ago
Katika mojawapo ya siasa za kupakana tope nchini, viongozi wakuu wa kisiasa waliamua kuvuana nguo hadharani, wakirushiana cheche za lugha chafu na matusi makali. Rais William Ruto na aliyekuwa naibu wake Rigathi Gachagua wakiongoza msururu wa matusi ambayo hayajawahi kushuhudiwa
Advertisement