Back to home

Serikali za kaunti zimetakiwa kukumbatia mfumo wa Mabaraza ya Wananchi

video
C
Citizen TV (Youtube)
March 18, 2026
2h ago
Mashirika ya kiraia nchini yakiongozwa na Chama cha Kitaifa cha Walipa Kodi (NTA ) yamesisitiza umuhimu wa serikali za kaunti kuhakikisha wananchi wanapokea hamasisho kuhusu usimamizi wa fedha za umma ili waweze kushiriki kikamilifu katika maamuzi yanayohusu matumizi ya rasilimal
Advertisement