Back to home
Fahamu kuhusu Endometriosis, ugonjwa unaoathiri takriban asilimia 10 ya wanawake duniani | Afya Yako
video
N
NTV Kenya (Youtube)March 18, 2026
2h ago
Endometriosis ni ugonjwa wa uzazi unaohusishwa mara nyingi na maumivu ya hedhi ambapo tishu zinazofanana na ukuta wa nyungu ya mimba hukua katika maeneo mengine ya mwili. Katika mwezi huu wa hamasa ya ugonjwa huu, harakati za kimataifa zimeendelea kuchochea ufahamu, utambuzi wa m
Advertisement
Advertisement


