Back to home

AFC Leopards wafunga Nairobi United 1-0

video
C
Citizen TV (Youtube)
March 18, 2026
2h ago
Timu ya AFC leopards imepunguza pengo dhidi ya viongozi gor mahia hadi pointi saba baada ushindi wa bao 1-0 dhidi ya nairobi united katika mechi ya ligi kuu ya kandanda iliyochezwa alasiri ya leo. Ingwe ilifunga bao la pekee mapema katika kipindi cha kwanza.
Advertisement