Back to home
Serikali ya Machakos yatoa chanjo ya kichaa cha mbwa
video
C
Citizen TV (Youtube)March 19, 2026
2h ago
Serikali ya Kaunti ya Machakos kwa kushirikiana na Mtandao wa Afrika wa Ustawi wa Wanyama (ANAW) imeanzisha mpango wa kuwachanja mbwa na paka wote katika Wadi ya Kivaa katika kaunti ndogo ya Masinga dhidi ya kichaa cha mbwa..
Hatua hii imechukuliwa baada ya mlipuko wa kichaa cha
Advertisement
Advertisement




