Back to home

Mvua kubwa inayoendelea kunyesha katika Kaunti ya Trans Nzoia imesababisha majonzi na uharibifu

video
C
Citizen TV (Youtube)
March 19, 2026
1h ago
Mvua kubwa inayoendelea kunyesha katika Kaunti ya Trans Nzoia imesababisha majonzi na uharibifu mkubwa baada ya mtu mmoja kupoteza maisha kwa kusombwa na mafuriko. Na Kama anavyoarifu Collins Shitiabayi kutoka eneo la Namajalala, mto Sabwani ulivunja kingo zake na kuelekeza maji
Advertisement