Back to home

Rais Ruto aagiza ujenzi wa uwanja wa Kidundu Vihiga

video
C
Citizen TV (Youtube)
March 19, 2026
2h ago
Rais William Ruto ameagiza idara ya Jeshi la Kenya kusimamia ujenzi wa uwanja wa Kidundu katika kaunti ya Vihiga, zoezi ambalo limelengwa kukamilika katika muda wa miezi 9 ijayo. Uwanja huo una bajeti ya shilingi milioni 900 na utakuwa mojawapo ya miradi muhimu katika kaunti ya V
Advertisement