Back to home

Viongozi wa Jubilee wamsuta rais kwa kutusi upinzani

video
C
Citizen TV (Youtube)
March 20, 2026
3h ago
Viongozi wa chama cha Jubilee wamemsuta Rais William Ruto kwa matamshi yake makali dhidi ya wapinzani wake. Wakizungumza kule Nyansiongo walipokutana na wanachama wao, viongozi hao akiwemo katibu mkuu wa chama hicho Moitalel Ole Kenta wamesema matamshi hayo hayaambatani na haiba
Advertisement