Back to home

Eid yaunganisha Waislamu, viongozi wakemea siasa chafu

video
C
Citizen TV (Youtube)
March 20, 2026
2h ago
Sherehe za Eid ul Fitr zilinoga kote nchini huku waumini wa dini ya Kiislamu wakiungana na wenzao kote duniani kuadhimisha kukamilika kwa mwezi mtukufu wa Ramadhan. Sherehe hizo zilishamiri rai za viongozi wa dini na Waislamu za kuwataka wanasiasa kukomesha siasa chafu za matusi.
Advertisement