Back to home

Wakulima wakumbwa na ukosefu wa mbolea wakati wa upanzi

video
C
Citizen TV (Youtube)
March 20, 2026
3h ago
Wakulima katika kaunti za Uasin Gishu, Trans Nzoia na Elgeyo Marakwet wanahofia kuwa huenda msimu wa upanzi ukaathirika kufuatia ukosefu wa mbolea ya ruzuku. Foleni ndefu za wakulima zimeshuhudiwa kwenye maghala ya hamla shauri ya nafaka na mazao katika maeneo mbalimbali huku baa
Advertisement