Back to home
Chuo cha MMUST kimetia saini makubaliano ya kuchukua rasmi usimamizi wa taasisi ya Benga
video
N
NTV Kenya (Youtube)March 21, 2026
2h ago
Hatimaye chuo kikuu cha Sayansi na Teknolojia cha Masinde Muliro kimetia saini makubaliano ya kuchukua rasmi usimamizi wa Taasisi ya mafunzo ya kiufundi ya Benga eneo bunge la Butula kaunti ya Busia kwa lengo la kuanzisha chuo kikuu eneo hilo.
Subscribe and watch NTV Kenya live
Advertisement
Advertisement




