Back to home
Kenya ina imani ya kutimiza matakwa ya kuandaa AFCON
video
C
Citizen TV (Youtube)March 22, 2026
2h ago
Serikali imeeleza kuwa ina imani ya kufikia muda uliowekwa na shirikisho la soka barani afrika (CAF) kuhusiana na maandalizi ya kuandaa michuano ya kombe la mataifa ya afrika (AFCON) mwaka ujao.
Advertisement
Advertisement



