Back to home
Viongozi wa ODM kaunti ya Mombasa washinikiza mazungumzo kati yao na UDA
video
C
Citizen TV (Youtube)March 22, 2026
2h ago
Viongozi wa ODM kaunti ya Mombasa sasa wanasema kuwa watashinikiza mazungumzo kati yao na UDA yajumuishe chama hicho kupewa nafasi ya unaibu rais kwenye uchaguzi mkuu ujao. Wakizungumza mombasa wakati wa eid baraza, viongozi hao wamempigia debe waziri wa madini Joho kupewa nafasi
Advertisement
Advertisement





