Back to home
Maafisa wa polisi waanzisha uchunguzi wa tukio la watu 14 kuzikwa katika kaburi moja Kericho
video
C
Citizen TV (Youtube)March 23, 2026
2h ago
Maafisa wa polisi wameanzisha uchunguzi kufuatia madai kuwa miili 14 imezikwa katika kaburi moja eneo la Makaburini kaunti ya Kericho. Miili hiyo inasemekana kuwa ilizikwa kwa njia tatanishi Ijumaa asubuhi. Serikali ya KauntI ya Kericho imekanusha madai ya kuhusika katika kisa h
Advertisement
Advertisement





