Back to home
Rais apiga kampeni Homa Bay na kuendelea kukosoa upinzani kwa siasa bila mpango
video
C
Citizen TV (Youtube)March 23, 2026
3h ago
Rais William Ruto kwa mara nyingine ameendelea kuwarushia makombora ya kisaisa wapinzani wake sasa akisema, aliyekuwa naibu wake Rigathi Gachagua hapaswi kupewa nafasi yoyote ya uongozi nchini. Badala yake akimshutumu Gachagua kwa kueneza ukabila. Akizungumza huko Homa Bay, Rais
Advertisement
Advertisement




