Back to home
Wakazi wa Magadi kaunti ya Kajiado wapata maji safi baada ya bomba lililoharibika miaka 15 iliyopita
video
C
Citizen TV (Youtube)March 23, 2026
2h ago
Wakazi wa eneo la Magadi katika eneo bunge la Kajiado Magharibi sasa wana sababu ya kutabasamu baada ya kupata maji safi kutokana na ukarabati wa bomba lililokuwa limeharibika. Bomba hilo liliharibika mika 15 iliyopita
Advertisement
Advertisement


