Back to home
Uongozi wa chama cha Ford Kenya wasema chama hicho hakitavunjwa ili kuungana na UDA
video
C
Citizen TV (Youtube)March 23, 2026
2h ago
Chama cha FORD Kenya kimekataa wito wa kuvunjwa kwa vyama tanzu ndani ya muungano unaotawala, kikieleza kuwa hatua hiyo itazima demokrasia ya vyama vingi nchini Kenya. Katibu Mkuu wa chama hicho, John Chikati, ameshutumu baadhi ya viongozi wa chama cha UDA kwa kutoa vitisho vya
Advertisement
Advertisement





