Back to home

Mkurugenzi wa mashtaka na Umma amewaondolea mashtaka wakurugenzi watatu wa Nairobi Hospital

video
C
Citizen TV (Youtube)
March 24, 2026
2h ago
Mkurugenzi wa mashtaka na Umma amewaondolea mashtaka wakurugenzi watatu wa Nairobi Hospital waliokuwa wamefikishwa kizimbani. Watatu hao akiwemo mwenyekiti wa bodi simamizi wa hospitali hiyo Barcley Onyambu, walilazimika kusubiri kwa zaidi ya saa tano kabla ya kuanza kusikizwa k
Advertisement