Back to home
Wakazi wa Runyenjes wasema hakuna huduma bora za afya kwa kukosekana kwa wodi za wanaume
video
C
Citizen TV (Youtube)March 24, 2026
2h ago
Wakazi wa Runyenjes katika kaunti ya Embu wamelalamikia kosefu wa wodi za wanaume katika Hospitali ya Runyenjes. Hali hii inawalazimu wagonjwa kutafuta matibabu katika hospitali za kibinafsi au hospital za umma zilizoko mbali.
Wakazi pia wamelalamikia ugumu wa kupata vipimo vya a
Advertisement
Advertisement




