Back to home
NG-CDF yatumiwa kujenga madarasa Samburu Mashariki
video
C
Citizen TV (Youtube)March 24, 2026
2h ago
Hazina ya NG-CDF inaendelea kubadili maeneo yaliyotengwa na kusalia nyuma kimaendeleo hususan maeneo ya wafugaji hasa katika ujenzi wa madarasa. Shule ya wasichana ya UASO samburu mashariki, ikiwa shule moja wapo iliyofadhiliwa na NGCDF na sasa inatoa nafasi kwa wasichana wafugaj
Advertisement
Advertisement





