Back to home

Harambee Stars yawasili Kigali kwa mashindano ya FIFA Series

video
C
Citizen TV (Youtube)
March 24, 2026
2h ago
Timu ya taifa ya kandanda Harambee Stars imewasili Kigali, Rwanda, kwa mashindano ya FIFA Series yatakayoanza Ijumaa. Harambee Stars watafungua mashindano hayo dhidi ya Estonia
Advertisement