Back to home
Ruto akamilisha ziara Nyanza, asema miradi tosha ya maendeleo itampa muhula wa pili
video
C
Citizen TV (Youtube)March 24, 2026
2h ago
Rais William Ruto amekamilisha ziara yake ya kaunti za Nyanza na kuwataka Wakenya puuzilia mbali kile alichotaja kama kelele za upinzani. Rais Ruto amedokeza kuwa serikali yake ina miradi tosha ya maendeleo ya kumpa muhula wa pili.
Advertisement
Advertisement





