Back to home
IEBC yasema idadi ndogo sana imesajiliwa kupiga kura Bungoma
video
C
Citizen TV (Youtube)March 25, 2026
1h ago
Huku tume huru ya uchaguzi na uratibu wa mipaka nchini IEBC ikiendeleza usajili wa wapiga kura wapya, Kaunti ya Bungoma imebainika kusajili idadi ndogo ya wapigaji kura kwenye awamu ya usajili iliyopita.
Akizungumza baada ya mafunzo ya maafisa wa kusimamia usajili wa wapiga ku
Advertisement
Advertisement



