Back to home

Wagonjwa wameanza kutolewa kutoka hospitali za umma kutokana na mgomo wa wauguzi

video
C
Citizen TV (Youtube)
March 25, 2026
1h ago
Utoaji wa huduma za afya umeathirika katika hospitali za umma kaunti ya Laikipia kufuatia mgomo wa wauguzi ulioanza rasmi siku ya Jumatatu na kuhusisha vyama vitano vya wafanyakazi wa sekta hiyo. Wagonjwa wamelazimika kuondolewa hospitalini huku wale wanaotafuta huduma za nje wa
Advertisement