Back to home

Mtaa wa mabanda wa Upper Kathita Embu wasambaziwa umeme

video
C
Citizen TV (Youtube)
March 26, 2026
3h ago
Wakazi wa mtaa wa mabanda wa Upper Kathita katika eneo la Manyatta, Kaunti ya Embu, wamepata umeme baada ya kuishi gizani kwa miongo kadhaa kutokana na kukosa hati za umiliki wa ardhi. Kupitia mradi wa Last Mile Connectivity uliotekelezwa na Shirika la Usambazaji Umeme Vijijini (
Advertisement